Monday, July 7, 2008

JULAI 7, 2008 MTI WA LIMAU



Bustani imejaa/ ardhi imekwisha kwa hiyo nimeamua kupanda kwenye makopo mnaona yanavyostawi. nilikuwa mjinga miaka yote kununu kwa bei kubwaaaaaaaaa

1 comment:

Anonymous said...

nasikia wewe unatibu mafua kwa kutumia haya matunda au