Monday, February 25, 2019

MLO WANGU WA JIONI YA LEO UTAKUWA HUU NA CHA KUTEREMSHIA NI MAJI...

Karibuni tujumuike ndugu/rafiki zangu ni samaki kwa viazi....Nimekumbuka sana kule nilikozaliwa Nyasa ila kule kwetu kungekuwa na ugali wa muhogo weeeee

No comments: