Monday, February 11, 2019

HIZI ZITAKUWA PICHA ZA MWZI HUU WA PILI

Nimeamka asubuhi ya leo na nikawa na hamu ya kula yai  kwa kawaida huwa napenda kula yai moja tu lakini lakini leo macho yangu yakakutana na maajabu haya katika yao moja nikaona ni mawili. Cha ajabu yao halikuwa kubwa kuliko kawaida....nimeyale yote :-)  Mara nikakumbuka kuna mtu alinitumia picha ....
...picha maajabu yaliyotokea mgomba mmoja umezaa mikungu minne ya ndizi. Hakika hii ni kali ya mwezi ..

No comments: