Monday, March 4, 2019

BLOG YA MAISHA NA MAFANIKIO IMETIMIZA MIAKA KUMI NA MOJA MWAKA HUU TAREHE 23/2/2019

Hapa ni mwenyewe mamaMaisha na Mfanikio AKA Kapulya
Blog ya Maisha na Mafanikio kama mchezo mwaka huu  yatimiza miaka kumi na  (11). Napenda kuchukua nafasi hii na kusema:- Hii yote ni kutokana na uwepo wenu ulioambatana na upendo pia ushirikiano mzuri mlio nao. Na kubwa zaidi ni kwa familia yangu kwa kuwa bega kwa bega nami. Pia napenda kusema kwa kupitia michango ya wasomaji na wanablog wenzangu nimeweza kijifunza mambo mengi sana. Na ndiyo kwa sababa hii napenda kusema:- AHSANTENI SANA KWA USHIRIKIANO WENU NASEMA TENA KWANI NAAMINI BILA NINYI, NISINGEFIKA HAPA NILIPO LEO. KWA KWELI NAAMINI KUWA SISI SOTE NI NDUGU NA NI WATOTO WA BABA MMOJA. UPENDO NA UMOJA WETU UDUMU DAIMA NA PIA MILELE!!!!!......Halafu la kufurahisha siku niliyoanza kublog ilikuwa ni JUMAMOSI na mwaka huu pia  ni JUMAMOSI... HAYA NIWATAKIENIAMANI NA FURAHA  KWA WOTE MTAKAOPITA HAPA NA WENGINE WOTE.

No comments: