Monday, April 9, 2018

HARUSI NA VAZI LA KITAMADUNI KATIKA BAADHI YA NCHI BARANI AFRIKA....!

 Vazi la kitamaduni/asili nchini KENYA NA NIGERIA


Vazi la kitamaduni/asili nchi UGANDA

 Vazi la kitamaduni/asili nchini AFRIKA YA KUSINI/KWA ZULU
 Vazi la harusi la kitamaduni/asili Nchini IVORY COAST
 Vazi la kitamaduni/asili Nchini GHANA

Vazi la harusi la kitamaduni/asili Na hapa ni nchini CONGO
SWALI:- Je? TANZANIA KAMA NCHI HATUNA VAZI LA KITAMADUNI KWENYE HARUSI?

4 comments:

emuthree said...

Kwa ncho kama yetu hii ambayo UZALENDO ni adimu, sizani kama tunaweza kuwa na vazi la asili la kitaifa. Sisi aslimia kubwa ni kuiga, hasa mavazi ya kigeni, nachelea kusema kuwa utamaduni wetu wa asili kwa asilimia kubwa umeshazikwa zamani. Hata Wamasai sasa wanaanza kubadilika...!

Yasinta Ngonyani said...

Duh ! kwa hili ulilolisema ni kweli kwamba twapenda sana kuiga na hasa yale ya kigeni na cha ajabu wao wageni hupenda sana vyetu vya asili. Nasikitika sana kusikia kama kweli wamasaa nao wanaanza kubadilika...

Rachel Siwa said...

hivi nakumbuka kulikuwa na hili la kutafuta vazi la taifa la Tanzania sijui umeishia wapi? kama ungepewa nafasi ya kuchagua vazi la taifa ungechagua lipi?

Yasinta Ngonyani said...

Duh! Ni mtihani alo...ngoja nifikirie