Saturday, April 14, 2018

KUMBUKUMBU:- USISAHAU ULIKOTOKA KWANI NDIYO MSINGI WA MAISHA


Hapa ni kwetu MAHENGE SONGEA MAMA, MIMI NA BABA 
NA ha pa ni kaka yangu mdogo XVERY  ilikuwa mwaka jana  mwezi wa kumi na mbili kwa kweli ilikuwa ni furaha sana kuweza kuonana

2 comments: