Friday, March 30, 2018

IJUMAA KUU HII IWE NJEMA KWA WAUMINI WOTE!!


Ni ijumaa ambayo Bwana Yesu Kristu atapata mateso kwa ajili yetu. Sijui kama kuna mtu angeweza kujitoa roho yake kwa ajili ya mwingine kama Bwana wetu Yesu anavyofanya kwa ajili yetu?..Na nawakumbusheni kuto sahau leo ni ile siku ambayo ni siku moja tu kwa mwaka ambayo tunaombwa kuacha kula vyakula vya damudamu hasa nyama ....Mwenyezi Mungu na atawala Nyumbani mwenu Daima kuwa na Amani pia Furaha . Amina. IJUMAA KUU IWE NJEMA KWA WOTE....  NI KAPULYA WENU!!

No comments: