Wednesday, August 9, 2017

FANYA KAZI PIA CHUKUA MUDA WA KUPUMZIKA PALE INAPOTAKIWA.....

Hivi kwa nini sisi binadamu daima tunafanya kazi kwa ajili ya keshe,  lakini wakati kesho ikija, badala ya kufurahi, lakini bado tutafikiria kesho tena? Hebu tufurahie leo basi !.

No comments: