Sunday, August 26, 2018

JUMAPILI YA LEO TUWE PAMOJA KWA MAOMBI NA HII NI SALA YANGU

Ee Mungu wajua sababu ya mimi kuendelea kuwepo kwenye uwepo wako, naomba uendelee kunijalia hekima na busara katika kukabiliana  na majaribu mbalimbali maana wewe ndiye wajua leo yangu na kesho yangu itakavyokuwa.
AMINA

No comments: