Sunday, July 9, 2017

UJUMBE WA JUMAPILI YA LEO...KUTOKA KWA BLOG YA MAISHA NA MAFANIKIO

Sisi binadamu daima tunafanya kazi kwa kutumaini siku ya kesho itakuwa  bora lakini wakati kesho inafika badala ya kufurahi, basi sisi tuanaanza kunafikiria kesho tena itakuwa bora?  Hebu tuwe na siku ya leo sio kila wakati kufikiria ubora  wa kesho. MAISHA NI MAFUPI UPATAPO WASAA FURAHIA....JUMAPILI NJEMA

No comments: