Thursday, July 20, 2017

MWANZO MGUMU.... LAKINI BUSTANI YETU INAANZA LEO RASMI....

 Hatimaye bustani yetu inaanza kuridhisha. Ni mchicha,  figiri na mboga maboga
 Ukiwa  na sehemu ndogo  usikata tamaa panda kwenye makopo au ndoo...hspa ni nyanya
Na hapo ni pilipili hoho na mboga maboga  ujanja eeehhh:)

No comments: