Tuesday, July 25, 2017

ELIMU:- WAZAZI TUNAFIKIRI WATOTO WANAPATA ELIMU KUMBE WANAFANYA MIRADI KUINGIZA FEDHA KWENYE MFUKO WA SHULE...

Tutafika kweli kwa mtindo huu? Nimekumbuka mbali sana wakati ule nasoma shule ya msingi, kubeba tofali, kulima mashamba, kukata nyasi, kusomba kuni nk. aise kwa kweli tumehinya sana miaka ile...

No comments: