Thursday, June 15, 2017

PONGEZI: BINTI CAMILLA LEO ANAMALIZA ELIMU YAKE YA SEKONDARI

Hapa yupo katika  maandalizi....kisherea hapa huvaa gauni nyeupe na kofia nyeupe...
Hapa ilikuwa juzi katika sherehe ya kuhitimu Sekondari ( GRADUATION)  Hapa huanza na sherehe na baadaye ndiyo kupokea cheti cha kuhitimu.

Na hapa alikuwa na msindikizaji wake kaka Philip. 
picha zaidi zitakuja  ambazo zitakuwa na maelezo zaidi na labdda maakuli na shamrashamra...haya baadaye kidogo

4 comments:

emu-three said...

HONGERA SANA KWA KUKUZA, KUSOMESHA, NA MPE PONGEZI ZANGU KWAKE, KWA KUWEZA KUFIKIA HAPO, NATUMAI ATAENDELEA MBELE ZAIDI.

Yasinta Ngonyani said...

Ndugu yangu emu-three ahsante sana kwa pongezi pia kuwa nasi siku hiyo kwa kuonyesha ushirikiano wako.

Anonymous said...

Hongera Camilla, Pia Mama na baba Camilla kumsomesha hata kufikia hapo. Swali huyo msinfdikizaji ni nani? Ndugu au rafiki yake tu? Nilidhania atakuwa Erick. Hahahah.......,haya dada sasa utapata mkweee......

Yasinta Ngonyani said...

Ahsante sana sana.. huyo msindikizaji ni mwanafunzi mwenzake. ..