Wednesday, February 22, 2017

MAISHA:- KUTOKANA NA TABIA ZAKO UKIWA NA SHIDA UNAWEZA UKAACHWA BILA KUSAIDIWA

Katika maisha unaweza kufikwa na MATATIZO na watu wakatamani kukusaidia lakini wakashindwa kutokana na TABIA zako..
UJUMBE:- CHUNGA SANA ALIYE KUUMBA ANA UWEZO WA KUKUUMBUA.

No comments: