Monday, February 13, 2017

JUMATATU HII IANZE HIVI:- JIKONI LEO UGALI

 Ugali, mchanganyiko wa maharege na viazi  pia matembele
...na hapa ni ugali na mboga iliyoungwa karanga...
Binafsi nachagua ule mlo wa kwanza maharage na matembele kwa vile SIPENDI KABISA MBOGA au CHAKULA CHOCHOTE KILICHOWEKWA KARANGA....Ndiyo maana nimeandaa aina mbili isije nikashinda njaa:-)

4 comments:

daileth mbele said...

Kama kawaida yako kunidondosha mate dada...na hizo sahani nazo ni kumbukumbu tosha kwangu

Yasinta Ngonyani said...

Ni kweli kwa kweli hizo sahani duh! Ww kiboko kwa kunbukumbu...

Rachel Siwa said...

Mmhhh njaa dada wa mimi..
Mimi sipendi maharage na ugali,Ugali na mboga za majani sawa,Mharage na Wali/ubwabwa nitakula mpakaaaa...

Yasinta Ngonyani said...

Kachiki wa mimi wala usikonde utapata chakula ukipendacho pacha wangu:-)