Tuesday, July 28, 2015

BUSTANI YETU NA MAENDELEO YAKE:- MAVUNO YA MARA YA PILI

Ni Mchicha mboga Maboga na Figiri  nimechuma na nimechemsha na kuweka akiba si mnajua akiba haiozi...Hii ndi kazi ya mikono yangu, mtoto wa mkuli ni mkulima:-) Ila msiogope  sijahifadhi yote karibuni tujumuike.

2 comments:

Interestedtips said...

hongera sana dada

Yasinta Ngonyani said...

Mama Alvin ......ahsante ns karibu uje kuchuma-:)