Thursday, December 4, 2014

CHAGUO LA MAISHA NA MAFANIKIO KWA WIKI HII :-PICHA YA WIKI!!

Nimeipenda sana hii picha  jinsi mazingira yalivyo na pia hawa wanyama TWIGA nikiwaangalia jinsi wanavyo temba mwana mwendo wa kulinga inapendeza sana. ...nami nasema KARIBU TANZANIA:-)

5 comments:

Interestedtips said...

Karibu Tanzania dada,,,,,Tanzania yetu ina vivutio vingi sanaa....hasa Wanyama kama Twiga

Yasinta Ngonyani said...

Mama Alvin yaani hamuinazidi kuwa nyingi sana:-) ..ndiyo tuna haki ya kujivunia vivutio tulivyonavyo...

emu-three said...

Ya twiga mnyama mrafu mwenye madaha, yote hiyo ni hazina ya TANZANIA

Ndugu Nkwazi N Mhango said...

Wanapendeza ingawa watasafirishwa na magabacholi kwenda Qatar na hakuna atayefungwa. Ajabu hata usalama wa taifa hawataweza kuwaona wala kugundua.

Yasinta Ngonyani said...

emu- three ndugu yangu hakika kama ingewezekana huyu mnyama ningemfuga ndani ya nyumba jinsi nimpendavyo.

Kaka Mhango upo sahihi sana katika jambo hili ,,,,