Tuesday, November 6, 2018

MBOGA ZA ASILI ZINA MANUFAA/FAIDA NA UTAMU WAKE

UYOGA PORI
Ni chakula nikipendacho sana na ni hodari sana kuutafuta huko mstuni. Maana ukiwa huko mstuni inakuwa kama ni kupoteza mawazo na pia unapata mazoezi na kIkubwa zaidi unapata mboga tena ya bureee. 
Mlenda bamia na mboga majani ya maboga au  mlenda wa porini na karanga. Binafsi nitachagua bamia na mboga maboga au mlenda pori usiotiwa karanga.

No comments: