Tuesday, July 10, 2018

LEO TUTEMBEE KANISA KONGWE LA MKOA WA RUVUMA-PERAMIHO

Hilo hapo juu ni kanisa lililo jengwa Peramiho na Wamisionari wa kikatolic miaka mia moja iliyo pita lakini mpaka leo halijanyiwa ukarabati wowote ,pamoja na kanisa hilo ipo saa ambayo nayo ina chukua miaka 100 bila kutengenzwa wala kurekebishwa

No comments: