Msimu ni ule majira ya kupukutika kwa majani. Kwa hiyo ni msimu wa uyoga pia kwa hiyo wapenzi wa uyoga tunafurahia sana kwenda mstuni na kuchuma/kutafuta uyoga. Kumbuka uwapo msituni sio unachuma uchoga tu ...La hasha ni mazoezi makubwa sana na pia kama ulikuwa na msongo wa mawazo basi msitu ni sehemu nzuri sana na kuwa.
Nawatakieni kila la kheri tuonane tena panapo majaliwa.....kapulya wenu!
Tuesday, October 1, 2019
Friday, September 27, 2019
Thursday, September 19, 2019
Sunday, September 8, 2019
Wednesday, September 4, 2019
KILA MTU ALIMAPO ANATEGEMEA KUVUNA CHOCHOTE:- NAMI LEO NIMEVUNA NILICHOPANDA VIAZI
Nimevuna nichopanda ni viazi matosani au wengine huviita viazi ulaya katika kundi hilo la viazi
...kumetokea kiazi cha umbo kama la moyo angalia mwenyewe
Friday, August 23, 2019
KAZI YA MIKONO YANGU....BUSTANI
Hapa ni zao la zabibu
Na hapa nimepanda mchicha na figiri ila nimechelewa kidogo. Lakini nina matumaini nitakula tu:-)
lebo:
bustani 2019,
figiri,
mchicha,
zabibu
Wednesday, August 7, 2019
UFUKWE RESTRAND:- UKIWA ZANZIBAR USIKOSE KULA HAPA KUNA CHAKULA KITAMU
Hapa ni baadhi ya wafanyakazi wetu
...na hapa ni kundi nzima
Meneja, akiwa na baadhi ya wafanyakazi kama vile mpishi na dada msaidizi wake
Monday, August 5, 2019
NYUMBANI NI NYUMBANI NA UFIKAPO NYUMBANI NI RAHA SANA KUONANA NA NDUGU
Hapa nipo Lundusi na mama zangu yaani binamu zake baba yangu
Na hapa nipo na dada yangu Anastasia alikuja kunisalimia baada ya miaka 20 kupita bila kuonana
Hapa tupo Mkurumo kwa mjomba wetu...mpiga picha ni mimi kapulya
Hapa tulipata mgeni anaitwa Chacha alikuja kututembelea ilikuwa ni furaha sana.Hapa tulipata wasaa kuwatembelea mapadre na kupata chakula cha jioni...
Zanzibar Forodhani 24/7-19
Saturday, July 27, 2019
Sunday, July 21, 2019
Sunday, July 14, 2019
NIMEPITA SOKONI SONGEA NIKAKUTANA NA VYAKULA NIVIPENDAVYO SAMAKI MBELELE NA LIKUNGU NILI
Hapa ni samaki aina ya mbelele watamu sana sana ila wana miba ndogo ndogo ulapo yabudi uwe mwangalifu sana...
Wednesday, July 10, 2019
Saturday, July 6, 2019
Saturday, June 29, 2019
NAWAKARIBISHA HAPA KWETU RUHUWI/SONGEA TULE VYA ASILI
Matunda ni kutoka nje na kuchuma, kama muonavyo ni papai, passion, tunda damu, machungwa na ndizi. Raha tupu-:)
Chai kwa vitumbua...nimekumbuka enzi hizo ili kupata pesa ya kalamu basi tulikuwa tukipika vitumbua.
Chai kwa vitumbua...nimekumbuka enzi hizo ili kupata pesa ya kalamu basi tulikuwa tukipika vitumbua.
Monday, June 24, 2019
TUANZE HII WIKI NA PICHA HII KUWA IWE PICHA YA YA WIKI ...
Pamoja na kuwa amebeba mtoto na mzigo kichwani lakini sura yake ni ya furaha ...nimeipenda hii picha...
Monday, June 17, 2019
HODI HODI NYUMBANI ....RUVUMA YITU YABWINA
Kwetu ruvuma ni kuzuri nje kuona na mahindi mje kula vyakula vya asili . KARIBUNI SANA MAANA MIE NISHA KARIBIA:-)
Wednesday, June 12, 2019
NIMEAMKA NA WAZO HILI LEO
Nawaza kwa sauti kwa nini mifuko ya plastiki inakatazwa lakini sio viti vya plastiki. Maana ukiangalia hiki kiti kina ubora zaidi kuliko cha plastiki...nimewaza tu kwa sauti
Sunday, June 9, 2019
TUFANYE NYUMBA ZETU KUWA "KIJIWE" CHA MARAFIKI WA WATOTO WETU
nimekumbuka enzi zilee
Siku zote fungua milango kwa watoto kufurahi nyumbani kwako na watoto wenzao na utawasaidia kuepuka mengi kwa dunia ya sasa yenye changamoto za kila namna. Ni vyema mtoto akawa huru kuchagua rafiki, ila kama mzazi / mlezi unaweza kumsaidia ushauri tu juu ya marafiki wema wenye maadili mema kama wewe ulivyojitahidi kumfundisha. Sikiliza mazungumzo yao, michezo na tabia za marafiki aliowachagua mwanao kisha umshauri kuhusu marafiki hao endapo utaona sio marafiki wazuri na mpe pongezi unapoona marafiki zake ni binadamu wema. Ni vyema pia ukayafanya makazi yako kuwa sehemu rafiki kwa marafiki wa watoto wako kujumuika na kufurahi pamoja. Hii itakusaidia kujua tabia za marafiki hao na pia itasaidia kuwaweka salama watoto wako kwa sababu watacheza na kufurahi nyumbani kwako na sio sehemu zingine usizofahamu
Wednesday, May 29, 2019
VYAKULA/MILO AIPENDAYO KAPULYA
Chakula cha asubuhi mayai, soseji na vinginevyo na bila kusahau matunda kama papai, nanasi na zabibu. Bila kusahau chai(chingambwe) yaani chai isiyo na sukari
Hapa ni viazi kwa samaki wa kuchoma/banika yaani hapa ndo walinikumbusha kwetu LUNDO/NYASA.
PAMOJA DAIMA.
Monday, May 20, 2019
HUU NI UJUMBE WA JUMATATU YA LEO.......
Wakati mwingine unaweza kupata msaada kwa mtu ambaye hukuwahi ku/mtegemea au ulimdharau, hivyo ni kheri kuishi vizuri na kila mtu kwa kuwa hujui kesho yako.....
Subscribe to:
Posts (Atom)
































