Monday, May 11, 2020

UPUPU - MANGATUNGU CHAKULA CHA ASILI CHA WANYASA/WANGONI


JE? Wewe  una chakula cha asili katika asili yako?

2 comments:

Ndugu Nkwazi N Mhango said...

Hiyo kitu bwino bin yummy asikwambie mtu. Akikunyima mtu lazima utamchukia na kuomba makubwa yamfike lau nawe ufarijike. Hapa hakuna kusameheana wala nini bali visasi kwa kunyima kitu hii adhimu na adimu.

Yasinta Ngonyani said...

Kaka Mhango safari ijayo nitakuchukulia nakuahidi.Ahsante kwa kuwa nami. Take care !