Monday, January 6, 2020

JANA JUMAPILI 5/1 ILIKUWA KUMBUKUMBU YANGU YA KUZALIWA...NAMSHUKURU MUNGU KWA KUNILINDA NA KUUONA MWAKA MWINGINE TENA!

 Jana tarehe 5/1/2020 mdada huyu ilikuwa ni kumbukumbu ya kuzaliwa kwake.
Na hapa ni zawadi alizozawadiwa na famili pia marafiki zake. Bila kusahau kikombe cha chai 
Kwa vile ni msimu wa baridi nimepata zawadi ya kofia pia...
Muda wa chakula ulipofika...kwanza ni  LOBSTER  ambayo ina viungu vya asili na kitunguu saumu



Na mlo mkuu ulikuwa ni chakula kikuu cha KAPULYA ni SAMAKI ...kwa viazi  maalumu.
NAPENDA KUMSHUKURU MWENYEZI MUNGU KWA YOTE .

4 comments:

Rachel Siwa said...

Heri ya kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa Kadala wa mimi
Mungu aendelee kukubariki wewe na familia yako..

Mingingilove kutoka pandee hii.

Elly Daniel Kombe said...

HERI YA MWAKA MPYA 2020 NA HERI BINAFSI(BELATEDLY) KWA KUMBUKUMBU YA SIKU YA WEWE KUFIKA DUNIANI BAADA YA KUKAA DUNIA IITWAYO MAMA KWA SEMESTER TATU MAALUMU.

MUNGU AKUJAALIE ...UWAONE WANA NA WANA NA WANA WA WANAO!UWAONE WAJUKUU ZA WANAO MWANAKWETU UITWE HERI!
wasalaam
Rafiki tusiyekutana
ELLY DANIEL KOMBE WHATSAPP 0684922 588

Yasinta Ngonyani said...

Kachiki wa mimi AHSANTE SANA SANA kwa salaam zako yaani kusheherekea siku yangu. Pia Ahsante sana kwa maombi.


Elly Rafiki yangu tusiyeonana...
Ahsante sana na kheri sana nawe kwa mwaka mpya 2020!

Unknown said...

Nakuombea kwa Mungu uzidi kukua kwa kilo na maaifa