Friday, January 10, 2020

HIZI PICHA NIMETUMIWA NA KAKA YANGU AISHIYE ZANZIBAR HAPA NI MAKAZI YAKE MAPYA YAANI MPAKA RAHA

Angalia mapapai yalivyojipanga.....  
...na muda si mrefu ndizi zitakuwa tayari kwa kuliwa ...ukiangalia kwa mbali hapo ardhini utaona aina za ambogamboga...aahhh mate yanachuruzika
na  hapa ni baadhi ya mahindi na mbogamboga tena
ooohh hapa nimekumbuka Matetereka.....Magimbi...hii ndo mtu unaweza ukaiita kazi ya mikono binafsi ila walaji tupo wengu. Tupo njiani;.)

2 comments:

emuthree said...

Hongera zake, kweli asili ya mtu haijifichi....

Yasinta Ngonyani said...

Haswaaa ..ahsante kaka