Monday, October 29, 2018

MAPISHI YA LEO KANDE, MAHINDI NA UGALIWA KUCHOMA/KUOKA

 Katika chungu ni kande zikipikwa na pembeni yake mahindi yakichomwa yaani raha hasa kipindi kile cha masika.
Ugali uliolala usitupe, choma/oka ni kitafuno kizuri saba kwa chai asubuhi....jaribu utaona utamu wake.... panapo majaliwa ttutaonana tena karibuni.

No comments: