Monday, May 20, 2019

HUU NI UJUMBE WA JUMATATU YA LEO.......

Wakati mwingine unaweza kupata msaada kwa mtu ambaye hukuwahi ku/mtegemea au ulimdharau, hivyo ni kheri kuishi vizuri na kila mtu kwa kuwa hujui kesho yako.....

No comments: