Wednesday, December 5, 2018

NIMEYATAMANI SANA HAYA MATUNDA...............


Hapa ni mbula au sisi wangoni twasema  mabuni ni matamu sana pia juisi yake ni tamu mno.
Na hapa ni masuku, sasa ndio msimu wake 

2 comments:

Amos Msengi said...

umetukumbusha mbali kijijini.

Yasinta Ngonyani said...

Kaka Amos kwanza karibu sana hapa kibarazani
pil wewe acha tu yaani