Friday, May 18, 2018

NACHUKUA NAFASI HII KUWATAKIENI WOTE MTAKAOPITA HAPA MWISHO WA JUMA UWE WENYE MAPUMZIKO YA AMANI NA FURAHA....

 Chagu lako kupumzika kwa kunywa pombe ya kienyeji  komoni na  ulanzi  au
Pombe ya kisasa kwa jina la bia
IJUMAA NA MWISHO MWEMA WA JUMA

No comments: