Thursday, April 11, 2019

HAPA NI VAZI LA WIKI HII CHUICHUI NA NYEUSI

Mdada yupo katika pozi fulani hivi kwa kulifurahia vazi laki 
...hapa kaambiwa asilale/sinzia  
Nachukua nafasi hii kuwatakieni juma njema, amani na furaha na pale upatapo wasaa wakumbuke wapendwa wetu/wako. TUPO PAMOJA:-)

1 comment:

Frey Nyoni said...

Uuuu wiiiiii... Napita njia