Tuesday, June 9, 2015

NDUGU ZETU WANGONI HAPO KALE

 Familia ya kingoni ilikuwa ikionekana hivi hapo kale
Amejiandaa tayari kwa kujikinga kwa vita, Ngao  na mkiku 
Wavulana wa kingoni katika kucheza ngoma
Kwangu ni kumbukumbu nzuri sana  katika picha hizi Tusisahau ya kale ndugu zangu.

 

2 comments:

Nicky Mwangoka said...

Kwakweli tulikotoka ni mbali

Yasinta Ngonyani said...

Kaka Nicky...ni kweli kabisa tumetoka mbali.