Monday, July 30, 2012

SIO LAZIMA UAMBIWE KWA MDOMO....

....hata kwenye kanga ni tosha kabisa...

5 comments:

Interestedtips said...

HUO UJUMBE WA KANGA NIMEUPENDA MNOOO

Rachel Siwa said...

Hahahahhaa da'Kadala hii kiboko!!

Yasinta Ngonyani said...

Ester nami nimeupenda kiasi kwamba nikaona nisiwe muchoyo...

Kachiki! Yaani haswaaa kiboko!!

ray njau said...

KIELELEZO KWA WAUME

5 Biblia inasema kwamba waume wanapaswa kuwatendea wake zao jinsi Yesu alivyowatendea wanafunzi wake. Fikiria mwongozo huu wa Biblia: “Waume, endeleeni kuwapenda wake zenu, kama vile Kristo pia alivyolipenda kutaniko na kujitoa mwenyewe kwa ajili yake . . . Vivyo hivyo, waume wanapaswa kuwa wakiwapenda wake zao kama miili yao wenyewe. Yeye anayempenda mke wake anajipenda mwenyewe, kwa maana hakuna mtu anayeuchukia mwili wake kwa vyovyote; bali huulisha na kuutunza kwa upendo, kama vile Kristo pia anavyolitendea kutaniko.”—Waefeso 5:23, 25-29.

6 Upendo wa Yesu kwa wanafunzi wake ni kielelezo bora kwa waume. Yesu ‘aliwapenda mpaka mwisho,’ akadhabihu uhai wake kwa ajili yao, hata ingawa hawakuwa wakamilifu. (Yohana 13:1; 15:13) Vivyo hivyo, waume wanahimizwa hivi: “Endeleeni kuwapenda wake zenu nanyi msiwakasirikie kwa uchungu.” (Wakolosai 3:19) Ni nini kitakachomsaidia mume kufuata shauri hilo, hasa ikiwa nyakati nyingine mke wake hatendi kwa busara? Anapaswa kukumbuka makosa yake na anachopaswa kufanya ili kupata msamaha wa Mungu. Anapaswa kufanya nini? Anapaswa kumsamehe kila mtu anayemkosea, kutia ndani mke wake. Bila shaka, mke anapaswa kufanya vivyo hivyo. (Mathayo 6:12, 14, 15) Je, unaona ni kwa nini watu fulani husema kwamba ili ndoa zifanikiwe lazima wenzi wote wawili wawe tayari kusameheana?

7 Waume wanapaswa kukumbuka pia kwamba sikuzote Yesu aliwajali wanafunzi wake. Alizingatia udhaifu wao na mahitaji yao ya kimwili. Kwa mfano, alisema hivi walipokuwa wamechoka: “Njooni, ninyi wenyewe, faraghani katika mahali pasipo na watu mpumzike kidogo.” (Marko 6:30-32) Wake pia wanastahili kuhangaikiwa kwa upendo. Biblia husema kwamba wao ni “chombo dhaifu zaidi” na waume wanaamriwa wawape “heshima.” Kwa nini? Kwa kuwa waume na wake pia wanashiriki “pendeleo lisilostahiliwa la uzima.” (1 Petro 3:7) Waume wanapaswa kukumbuka kwamba Mungu hupendezwa na uaminifu wa mtu wala si jinsia yake.—Zaburi 101:6.

8 Biblia inasema kwamba mume “anayempenda mke wake anajipenda mwenyewe.” Hiyo ni kwa sababu mume na mke “si wawili tena, bali mwili mmoja,” kama Yesu alivyosema. (Mathayo 19:6) Hivyo basi, hawapaswi kufanya ngono na mtu mwingine yeyote. (Methali 5:15-21; Waebrania 13:4) Wataepuka kufanya hivyo ikiwa kila mmoja anajali mahitaji ya yule mwingine bila ubinafsi. (1 Wakorintho 7:3-5) Kikumbusho hiki pia kinafaa: “Hakuna mtu anayeuchukia mwili wake kwa vyovyote; bali huulisha na kuutunza kwa upendo.” Waume wanapaswa kuwapenda wake zao kama wanavyojipenda wenyewe, wakikumbuka kwamba watatoa hesabu kwa Yesu Kristo, aliye kichwa chao.—Waefeso 5:29; 1 Wakorintho 11:3.

9 Mtume Paulo alizungumzia ‘upendo mwororo alio nao Kristo Yesu.’ (Wafilipi 1:8) Wororo wa Yesu ulikuwa sifa yenye kuburudisha, iliyowavutia wanawake ambao walikuwa wanafunzi wake. (Yohana 20:1, 11-13, 16) Nao wake hutamani sana waume zao wawapende kwa wororo.

Elizabeth said...

Sikuwahi kuamini kitu kama hiki kingeweza kunitokea hadi ndoa yangu ilipokaribia kuisha kabisa.

Mume wangu alibadilika ghafla. Mwanaume ambaye hapo awali alinipenda na kunijali akawa baridi, asiyejali, na mwenye hasira bila sababu. Aliacha kuonyesha nia katika ndoa yetu, akaniepuka kabisa, na hatimaye akaniomba talaka. Nilivunjika moyo kwa sababu nilimpenda mume wangu kwa moyo wangu wote.
Mambo yalizidi kuwa mabaya aliponizuia kila mahali — WhatsApp, Facebook, Instagram — kana kwamba sijawahi kuwepo. Nililia kila usiku nikijiuliza nilifanya nini kibaya.
Siku moja, rafiki wa karibu alinitembelea na kunitambulisha kwa mtu wa kiroho anayeitwa Dkt. Dawn. Kwa kweli, mwanzoni nilikuwa na shaka, lakini niliamua kumweleza kila kitu kwa sababu sikuwa na chochote cha kupoteza.

Dkt. Dawn alinisomea mambo ya kiroho, na nilishtuka. Alifichua siri kuhusu ndoa yangu na maisha yangu binafsi ambayo hakuna mtu aliyejua. Kila kitu alichosema kilikuwa sahihi 100%. Kisha akafichua kwamba mwanamke mwingine alikuwa amemloga mume wangu. Mwanamke huyu alikuwa akimtembelea mara nyingi, na kwa upumbavu niliamini ilikuwa kuhusu kazi tu.
Dkt. Dawn alinisaidia kuvunja uchawi na kufanya ibada yenye nguvu ya kurejesha upendo kwa ndoa yangu.
Kwa mshangao wangu mkubwa, muda mfupi tu baadaye, mume wangu alinifungulia kizuizi mwenyewe na kuanza kunipigia simu na kunitumia ujumbe mwingi, akiniomba nimsamehe na nirudi nyumbani. Mwanzoni nilimpuuza kwa sababu ya maumivu aliyonisababishia, lakini hatimaye alirudi nyumbani akiwa na zawadi na machozi machoni mwake akiomba nafasi nyingine.
Leo, ndoa yetu ni imara zaidi, yenye furaha zaidi, na yenye amani zaidi kuliko hapo awali. Mapenzi kati yetu yanahisi upya kabisa.
Kana kwamba hiyo haitoshi, Dkt. Dawn baadaye alinisaidia na ibada ya ujauzito kwa sababu tulikuwa tumejitahidi kwa miaka mingi kupata watoto. Ndani ya wiki 8, nilipata mimba kiasili, na leo tumebarikiwa na wavulana wawili wazuri wenye afya njema.
Nitaendelea kushukuru milele.
Ukihitaji: Uchawi wa mapenzi ili kuungana tena na mpenzi wako wa zamani
. Usaidizi wa kurejesha ndoa
. Tamaduni za ujauzito ili kupata mimba
. Usaidizi wa kiroho kwa kesi za mahakamani au kupona urithi
. Mwongozo na ulinzi wa kiroho
. kutokuwa na uhakika wa ubaba au ubaba usio na sifa

Ninapendekeza sana Dkt. Dawn. Ushuhuda wangu ni wa kweli, na furaha yangu leo ni uthibitisho. WhatsApp yake: +2349046229159

dawnacuna314@gmail.com