Showing posts with label papai. Show all posts
Showing posts with label papai. Show all posts
Thursday, February 13, 2020
PICHA;.- HII ITAKUWA NI MPAPAI AU MATTIKITI MAJI?
Hii picha na iwe picha ya wiki maana nimeshindwa kabisa kujua kama ni matikiti maji au papai! naomba msaada wenu ndugu zangu
Wednesday, May 29, 2019
VYAKULA/MILO AIPENDAYO KAPULYA
Chakula cha asubuhi mayai, soseji na vinginevyo na bila kusahau matunda kama papai, nanasi na zabibu. Bila kusahau chai(chingambwe) yaani chai isiyo na sukari
Hapa ni viazi kwa samaki wa kuchoma/banika yaani hapa ndo walinikumbusha kwetu LUNDO/NYASA.
PAMOJA DAIMA.
Wednesday, December 6, 2017
JE? WEWE UNAPENDA MATUNDA GANI? MIMI NAPENDA MACHENZA NA MAPAPAI
Kwanza MACHENZA Haya ni mepesi kumenya,hayana ukakasi wala uchungu kwa kifupi ni matamu.
Pili ni mapapai haya ni matamu sana pia ni safi sana kulainishia nyama kama vile nyama ya ngòmbe utapenda nakuambia....
Pili ni mapapai haya ni matamu sana pia ni safi sana kulainishia nyama kama vile nyama ya ngòmbe utapenda nakuambia....
Subscribe to:
Posts (Atom)





