Mpunga
Kanisa
Najua wote mtashangaa sawa mnaruhusiwa kushangaa. Kwani mimi leo nimetembelea kijiji kimoja kiitwacho Ifinga, Kijiji hiki ni maalufu sana kwa kilimo cha mpunga. Kwa hiyo ukifika/tembea Ifinga chukua na unga wako usije ukatamani ugali kwani wao wanakula wali kila siku siku wanayokula ugali ni sikuuu au jumapili tu.