Kwanza MACHENZA Haya ni mepesi kumenya,hayana ukakasi wala uchungu kwa kifupi ni matamu.
Pili ni mapapai haya ni matamu sana pia ni safi sana kulainishia nyama kama vile nyama ya ngòmbe utapenda nakuambia....
Showing posts with label matunda niyapendayo. Show all posts
Showing posts with label matunda niyapendayo. Show all posts
Wednesday, December 6, 2017
Thursday, January 28, 2016
AMA KWELI...LEO NIMEYAKUMBUKA SANA HAYA MATUNDA ....
Nilipokuwa msichana mdogo wakati tukiishi kijiji cha LUNDO huko nyasa, nyumbani kwetu tulikuwa na miti miwili ya matunda haya. Nasi tulikuwa tukiyaita "farafaraji" (Red mulberry).....ni matamu sana. Pia kitu kimoja nilikuwa najivuna ni kwamba nilikuwa sikosi marafiki tulikuwa tukila pamoja...Nimeyakumbuka sanaaa:-)
Subscribe to:
Posts (Atom)


