Showing posts with label matunda niyapendayo. Show all posts
Showing posts with label matunda niyapendayo. Show all posts

Wednesday, December 6, 2017

JE? WEWE UNAPENDA MATUNDA GANI? MIMI NAPENDA MACHENZA NA MAPAPAI

Kwanza MACHENZA Haya ni mepesi kumenya,hayana ukakasi wala uchungu kwa kifupi ni matamu. 
Pili ni mapapai haya ni matamu sana pia ni safi sana kulainishia nyama kama vile nyama ya ngòmbe utapenda nakuambia....

Thursday, January 28, 2016

AMA KWELI...LEO NIMEYAKUMBUKA SANA HAYA MATUNDA ....

Nilipokuwa msichana mdogo wakati tukiishi kijiji cha LUNDO huko nyasa, nyumbani kwetu tulikuwa na miti miwili ya matunda haya. Nasi tulikuwa tukiyaita "farafaraji" (Red mulberry).....ni matamu sana. Pia kitu kimoja nilikuwa najivuna ni kwamba nilikuwa sikosi marafiki  tulikuwa tukila pamoja...Nimeyakumbuka sanaaa:-)