MAISHA NA MAFANIKIO
Showing posts with label
mnyama maisha
.
Show all posts
Showing posts with label
mnyama maisha
.
Show all posts
Tuesday, May 18, 2010
Swali la leo:- Hivi kwanini kanga mnyama anaitwa kanga na Kanga vazi ni kanga zina uhusiano gani?
Kanga kama mnyama
Kanga kama vazi hasa kwa wanawake!!
Nimekuwa nikijiuliza miaka yote hii leo nimeona niwailize ndugu zangu kwani umoja ni nguvu utengano ni udhifu. Na anayeuliza sana basi anajua mengi...a.k.a KAPULYA MDADISI.
Older Posts
Home
Subscribe to:
Posts (Atom)