KITOWEO CHA PASAKA
Inaonekana mnyama/mbuzi beberu anakula mgumo hapo lakini akina baba hawakubali kushindwa. Je wewe nawe umejiandaa PASAKA hii na beberu? au labda kondoo....mmmmhhh,,, msije kujisahau IJUMAA KUU hakuna kula nyama!...
Ila mimi nikipata mlo kama huu nitaridhika kabisa kabisa..Ugali, mlenda/bamia na samaki.
NAWATAKIENI SIKU NJEMA PANAPO MAJALIWA TUTAONANA TENA:-) KAPULYA.
