Showing posts with label mwafrika. Show all posts
Showing posts with label mwafrika. Show all posts

Monday, February 15, 2010

Da Mija na kaka Chacha O`Wambura a.k.a Ngáwanambiti nimesubiri kushonewa zile nguo nimechoka!!

Kazi ya umodo ya siku moja Habari zenu ingawa mkono umepotea:-)

Naupenda utamaduni wangu (wetu)

soma zaidi hapa Ila bahati mbaya sijapata ile rangi ya bendera yetu nadhani hizi picha au hili vazi Limekaa/zimekaa vizuri:-)

Wednesday, December 16, 2009

NGOJA TUANGALIE PICHA ZA LEO!!!!!


Hapa ni Septemba 2009 mwanadada ana manywele ya ajabu kichwani kwake. Na inaonekana kama anafanya kazi ya kublog.

Na hapa ni 16.Desemba 2009 yaani leo Jumatano mwanadada anaonekana ni mwafrika/mTanzania mwanaafro KABISA:-)
Swali je? picha ipi ni bora kuliko nyingine? au tuseme mwanadada awe na nywele za aina gani?

Friday, November 20, 2009

SIJUI HUYU DADA NI NANI KAMA NAMFAHAMU VILE?


Hakika kuna sehemu nimemwona lakini sikumbuki ni wapi tena nimewahi kula naye ugali na matembele. Labada wenzangu mtanisaidia.

Saturday, September 19, 2009

U-MODO WA SIKU MOJA = RAHA JIPE MWENYEWE NA PIA JIPENDE MWENYEWE KWANZA

Hapa vipi tena?
Leo saa sita mchana.

Mawazo mpaka nywele zawasha

Hapa ndo mawazo yamezidi kiasi kwamba nimekuwa kama nyani.
JUMAMOSI NJEMA KWA WAOTE NA POPOTE MLIPO.


Friday, November 7, 2008

KWA NINI JINA WAZUNGU,WAAFRIKA NA CHOTARA?

Baada ya uchaguzi huu wa USA, Nimejifunza mambo mengi kweli watu tuna mawazo tofauti labda naweza kusema UBAGUZI.

Wazungu akizaa na wazungu kinachotokea ni mzungu
mwafrika akizaa na mwafrika kinachotokea ni mwafrika
mzungu akizaa na mwafrika ni mzungu, chotara au mwafrika?
Na nusu mzungu/mwafrika akizaa na mwafrika je tutaita nini?
au akizaa na mzungu mtoto ataitwa nini? Mzungu, chotara au mwafrika. Au kama asilimia 99 mzungu na asilimia 1 mwafrika huyu ataitwa mzungu, mwafrika au chotara?
Swali.- Kweli Obama ni mzungu au mwafrika? na je? watoto wao tutawaitaje? kwa sababu wote mke wa Obama na Obama ni Chotara au nimekosea?

Kwa nini majina yote haya tuache ubaguzi ndugu zangu kwani wote ni binadamu na wote ni mungu ndiye aliyetuumba na damu zetu wote ni nyekundu.