MAISHA NA MAFANIKIO
Showing posts with label
tusisahau uasili wetu
.
Show all posts
Showing posts with label
tusisahau uasili wetu
.
Show all posts
Wednesday, February 11, 2015
TUDUMISHE UASILI WETU/UTAMADUNI WETU!!!
Mdada akichunja pombe ya asili, na hivyo ndivyo walivyofanya hapo kale na pia kuna baadhi ya sehemu Afrika bado inafanyika hivyo
Na hapa ni nyumba ya asili huko Afrika ya kusini/ hasa kwa kabila la kizulu. Ambao inasemekana ni wanaukoo na wangoni.
Na hapa ni nyumba ya asili ya wangoni iliyopo Songea pale Makumbusho ya Mashujua
Older Posts
Home
Subscribe to:
Posts (Atom)