Akina mama wanachunja pombe ya kienyeji kama sio komoni basi ni myakaya tayari kwa kunywewa
Na hapa mzee kesha pata nusu yake .Nusu ni hicho kikombe anachonywea. Amewahi maana yupo peke yake hapo ila muda si mwingi wengi watajitokeza. Ila tukumbuke pombe si maji kwa hiyo tuwe makini.....MWISHO WA JUMA UWE MWEMA KWENNU NDUGU ZANGU:-)