Saturday, June 20, 2020

JIONI YA JUMAMOSI YALEONIMEONA SI MBAYA KAMA TUKITEMBELEA KWETU MBAMBA BAY

Angalia mandhari ilivyo nadhani ukiwa hapa hutataka kutoka maana ni fukwe nzuri sana. Niwatakieni JIONI YA JUMAMOSI HII IWE YENYE UTULIVU MWANANA. Wenu Kapulya!

Sunday, June 14, 2020

FAMILIA MBILI ZINAPOKUTANA KWA CHAKULA CHA USIKU

Ilikuwa jana 13 /6 kijana Erik kamaliza kozi yake ya jeshi .....

Wednesday, June 3, 2020

NAPENDA MAUA....NA SASA NDIO MSIMU WAKE

Nawatakieni  Jumatano hii iwe yenye furaha na amani