Nelson Mandela wakati wa uhai wake
1918-2013....ni pengo kubwa umeacha. Utakumbukwa daima. Mwenyezi Mungu ailaze roho yako mahali pema. Amina.
TUTAKUKUMBUKA DAIMA MKOMBOZI WETU. AMINA
TUTAKUKUMBUKA DAIMA MKOMBOZI WETU. AMINA
Ndiyo tunakubali kuwa Mungu alitoa na Mungu anachukua lakini inapokuja kwa mtoto huwa inaumiza kidogo nahasa mtoto huyo hata hajaishi kama inavyotakiwa. Na pengine hata hajabebwa na waliompenda. Mtoto D amekuwa katika dunia hii kwa muda wa siku 18 tu. Naomba wote tuchukua angalao dakika na tumwombe mtoto D. Mama, baba, wajomba, shangazi na ndugu wote watakuwa wanakukumbuka kila siku, ustarehe kwa amani peponi. Amina. Zaidi soma hapa. http://changamotoyetu.blogspot.com/ mada aliyoandika jumapili 6/9 na mada yenye kichwa cha habari Rest in peace baby D.
Mpaka leo ni miaka minne (4) imepita tangu mama yangu mpendwa Alana magnus Ngonyani aiage dunia hii. Ila kwa mimi inaonekana kama ilikuwa jana tu. Napenda kukuombea mama kwa sara hii:-