Mdada yupo katika pozi fulani hivi kwa kulifurahia vazi laki
...hapa kaambiwa asilale/sinzia
Nachukua nafasi hii kuwatakieni juma njema, amani na furaha na pale upatapo wasaa wakumbuke wapendwa wetu/wako. TUPO PAMOJA:-)
Hapa mwanadada ametinga kimgolole/kimasai.
Hapa nilikuwa nafikiria nifunge mtindo upi? Kabla sijaamua picha ikapigwa...kaaziii kwelikweli!!!
Hapa nikaona nikumbuke nilipokuwa mdogo maana nilikuwa napenda sana kufunga nguo (Lubega) shingoni. Lubega na ndala si mbaya au mnasemaje.... Ahsanteni wote TUONANE TENA JUMATANO NYINGI /IJAYO KATIKA KIPENGELE CHETU HIKI CHA MARUDIO YA MATUKIO MBALIMBALI!!!!!