Na hapa ni zawadi alizozawadiwa na famili pia marafiki zake. Bila kusahau kikombe cha chai
Kwa vile ni msimu wa baridi nimepata zawadi ya kofia pia...Muda wa chakula ulipofika...kwanza ni LOBSTER ambayo ina viungu vya asili na kitunguu saumu
Na mlo mkuu ulikuwa ni chakula kikuu cha KAPULYA ni SAMAKI ...kwa viazi maalumu.
NAPENDA KUMSHUKURU MWENYEZI MUNGU KWA YOTE .




