Showing posts with label picha. Show all posts
Showing posts with label picha. Show all posts
Thursday, February 13, 2020
PICHA;.- HII ITAKUWA NI MPAPAI AU MATTIKITI MAJI?
Hii picha na iwe picha ya wiki maana nimeshindwa kabisa kujua kama ni matikiti maji au papai! naomba msaada wenu ndugu zangu
Tuesday, July 4, 2017
Monday, April 3, 2017
MWEZI HUU WA NNE TUANZE NA PICHA HII...AMA ZAKO AMA ZANGU....
Tuesday, December 27, 2016
BARABARANI SEHEMU FULANI MKOANI RUVUMA ...JE? UNAJUA WAPI?
Mazingira ...barabarani sehemu fulani mkoani Ruvuma ...unajua ni wapi?....zawadi nono imeandaliwa kwa wa watano wa kwanza kujibu:-)
Thursday, September 22, 2016
Tuesday, June 14, 2016
LEO TUPO KIJIJI FULANI MBAMBA BAY...
Nimeipenda taswira hii..inanikumbusha mbali sana. Hakika tumetoka mbali ...ngoja niache panapo majaliwa tutaonana tena. Kapulya.
Monday, October 26, 2015
Sunday, July 26, 2015
HILI NI CHAGUA LA BLOG YA MAISHA NA MAFANIKIO KUWA HII NI PICHA YA WIKI:- JUMAPILI NJEMA KWA WOTE
Sasa hapa sijui tusema ni kumpendeza Jogoo au? Unafikiri Jogoo anapenda kuvaa hivyo kweli?...Haya Niwatakieni JUMAPILI NJEMA SANA! AMANI NA UPENDO VITAWALE KATIKA FAMILIA ZETU.
Monday, April 6, 2015
TUANZE WIKI HII YA PASAKA NA PICHA HII AMA KWELI....
Sijawahi kuona jogoo wakicheza mpira wala kusikia. Kaaaazi kwelikweliii JUMATATU YA PASAKA IWE NJEMA KWA WOTE! KAPULYA
Thursday, November 6, 2014
HAPA NI SEHEMU FULANI AFRIKA/TANZANIA.....
Je wewe msomaji unajua hapa ni wapi katika Afrika yetu?
Kila la kheri panapo majaliwa tuonane tena wakati mwingine...kapulya mdadisi!
Wednesday, September 24, 2014
Wednesday, July 16, 2014
WIKI ILIYOPITA JUMATANO YA TAREHE TISA NILIPATA NAFASI KUWA NA WAFANYA KAZI WENZANGU KAMA NILIVYOWAAMBIA....NA HAPA NI BAADHI YA PICHA NYINGINE NA BARO ZAIDI
Nadhani mnakumbuka hapa . Basi leo mfanyakazi mwenzangu naye kumbe alipiga picha . karibu....
Sijui kwa nini napunga mkono hapa. ni mwenyewe Kapulya na Dada AnnSofi
Kapulya/Yasinta
AnnSofi na rafiki yangu mpendwa Marlene
Hapa ni Dada Pernilla na Marlene ..meza nayo ilichafuka kiduchu.
NAWATAKIENI JIONI/SIKU/ASUBUHI AU MCHANA NJEMA/MWEMA
Monday, June 23, 2014
ILIKUWA 2007 NYUMBANI RUHUWIKO...NIMEONA IWE PICHA YA WIKI!!!!!
Niliona ni bora nivae na kofia:-)
mmmhh haya ya kofia mimi siyawezi ....lakini sasa eti nimefumba macho sijui ndo nini?
Sunday, May 11, 2014
Wednesday, May 7, 2014
NIMEIPENDA PICHA HII..NA NDIYO BLOG YA MAISHA NA MAFANIKIO IMECHAGUA IWE PICHA YA WIKI!!
Nimependa jinsi walivyojipamba:-Nywele, vidani, na bila kusahau tabasamu/Mapozi na halafu ngozi zao nyororo. PAMOJA DAIMA!!
Friday, May 2, 2014
HAPA NI TANZANIA LAKINI JE?UNAJUA HAPA NI WAP?
NAWATAKIENI WOTE MWISHO MWEMA WA JUMA. UKIPATA MUDA MSALIMIE RAFIKI YAKO MPENDWA AU TU JAMAA. KWANI KUKUMBUKANA NI JAMBO JEMA. IJUMAA YA KWANZA YA MWEZI MEI IWE NJEMA SANA KWA WOTE.......KAPULYA.
Tuesday, October 23, 2012
NIMEIPENDA PICHA HII NA NIMEONA IWE PICHA YA WIKI/WAREMBO WA WIKI!!!
Kwa kweli nimeipenda hii picha hebu iangalie wewe unaona nini katika picha hii? ukitaka kumsoma zaidi mdada huyu basi bonyezaga hapa...
Thursday, September 13, 2012
TUMALIZE SIKU HII KWA PICHA HIZI:- SARESARE MAUA ASIYEJUA KUCHAGUA ....!!!
Monday, August 13, 2012
TUANZE JUMATATU HII NA PICHA HII YA WAREMBO WA KINGONI!!!
Picha:- Ni ya wanawake wa KINGONI (mzimba) hapa ni mapema miaka ya 1900.... Nimeipenda picha hii maana inaonyesha jinsi wanawake hawa wanavyojali urembo wa asili ebu watazame...inavutia kwa kweli. JUMATATU NJEMA...
Tuesday, July 24, 2012
KUADIMIKA KWA MUDA!!! LIKIZO....
Ila nitajitahidi kuwa nanyi pia kinamna ili tusisauliana..ila mmmhhh kuwasahau ndugu si rahisi...hapa naona kama kapulya hana furaha:-( WOTE MNAPENDWA NA TUPO PAMOJA. MMEONA ZAWADI YANGU YA HUO UTAMADUNI/KIMASAI:-)
Subscribe to:
Posts (Atom)

















