Showing posts with label picha. Show all posts
Showing posts with label picha. Show all posts

Thursday, February 13, 2020

PICHA;.- HII ITAKUWA NI MPAPAI AU MATTIKITI MAJI?

Hii picha na iwe picha ya wiki maana nimeshindwa kabisa kujua kama ni matikiti maji au papai! naomba msaada wenu ndugu zangu

Tuesday, July 4, 2017

HAPA VIPI TENA?

Sasa hapa imekaaje tena? wasomaji tusaidiane hapa. Duh kaaazi kwelikweli hapa.

Monday, April 3, 2017

MWEZI HUU WA NNE TUANZE NA PICHA HII...AMA ZAKO AMA ZANGU....


Pale unyanyasaji unapozidi hali inakuwa hivi....ama zako ama zangu ...Duh! kazi kwelikweli. TUACHE unyanyasaji na TUPENDA KWA DHATI.

Tuesday, December 27, 2016

BARABARANI SEHEMU FULANI MKOANI RUVUMA ...JE? UNAJUA WAPI?

Mazingira ...barabarani sehemu fulani mkoani Ruvuma ...unajua ni wapi?....zawadi nono imeandaliwa kwa wa watano wa kwanza kujibu:-)

Thursday, September 22, 2016

SWALI... UNADHANI HUYO KWENYE PICHA NI NANI NA YUPO WAPI?


TUTAONANA TENA MAJALIWA NA KAMA BASI NIWATAKIENI MWISHO WA JUMA UWE MWEMA...



Tuesday, June 14, 2016

LEO TUPO KIJIJI FULANI MBAMBA BAY...

Nimeipenda taswira hii..inanikumbusha mbali sana. Hakika tumetoka mbali ...ngoja niache panapo majaliwa tutaonana tena. Kapulya.

Monday, October 26, 2015

Sunday, July 26, 2015

HILI NI CHAGUA LA BLOG YA MAISHA NA MAFANIKIO KUWA HII NI PICHA YA WIKI:- JUMAPILI NJEMA KWA WOTE

Sasa hapa sijui tusema ni  kumpendeza Jogoo au? Unafikiri Jogoo anapenda kuvaa hivyo kweli?...Haya Niwatakieni JUMAPILI NJEMA SANA! AMANI NA UPENDO VITAWALE KATIKA FAMILIA ZETU.

Monday, April 6, 2015

TUANZE WIKI HII YA PASAKA NA PICHA HII AMA KWELI....

Sijawahi kuona jogoo wakicheza mpira wala kusikia. Kaaaazi kwelikweliii  JUMATATU YA PASAKA IWE NJEMA KWA WOTE! KAPULYA

Thursday, November 6, 2014

HAPA NI SEHEMU FULANI AFRIKA/TANZANIA.....

Je wewe msomaji unajua hapa ni wapi katika Afrika yetu?
Kila la kheri panapo majaliwa tuonane tena wakati mwingine...kapulya mdadisi!

Wednesday, September 24, 2014

PICHA YA WIKI!!!

NAWATAKIENI WOTE SIKU NA MAJUKUMU MEMA ...KUMBUKA SISI SOTE NI NDUNGU!!

Wednesday, July 16, 2014

WIKI ILIYOPITA JUMATANO YA TAREHE TISA NILIPATA NAFASI KUWA NA WAFANYA KAZI WENZANGU KAMA NILIVYOWAAMBIA....NA HAPA NI BAADHI YA PICHA NYINGINE NA BARO ZAIDI

Nadhani mnakumbuka hapa . Basi leo mfanyakazi mwenzangu naye kumbe alipiga picha . karibu....

 
 Sijui kwa nini napunga mkono hapa. ni mwenyewe Kapulya na Dada AnnSofi
 Kapulya/Yasinta
 AnnSofi na rafiki yangu mpendwa Marlene
Hapa ni Dada Pernilla na Marlene ..meza nayo ilichafuka kiduchu.
NAWATAKIENI JIONI/SIKU/ASUBUHI AU MCHANA NJEMA/MWEMA

Monday, June 23, 2014

ILIKUWA 2007 NYUMBANI RUHUWIKO...NIMEONA IWE PICHA YA WIKI!!!!!

 Niliona ni bora nivae na kofia:-)
mmmhh haya ya kofia mimi siyawezi ....lakini sasa eti nimefumba macho sijui ndo nini?

Sunday, May 11, 2014

JUMAPILI NJEMA KWA WOTE!!!

SWALI LA LEO:- Je? unamfahamu mwanadada huyu ?

Wednesday, May 7, 2014

NIMEIPENDA PICHA HII..NA NDIYO BLOG YA MAISHA NA MAFANIKIO IMECHAGUA IWE PICHA YA WIKI!!

Nimependa jinsi walivyojipamba:-Nywele, vidani, na bila kusahau tabasamu/Mapozi na halafu ngozi zao nyororo. PAMOJA DAIMA!!

Friday, May 2, 2014

HAPA NI TANZANIA LAKINI JE?UNAJUA HAPA NI WAP?

NAWATAKIENI WOTE MWISHO MWEMA WA JUMA. UKIPATA MUDA MSALIMIE RAFIKI YAKO MPENDWA AU TU JAMAA. KWANI KUKUMBUKANA NI JAMBO JEMA. IJUMAA YA KWANZA YA MWEZI MEI IWE NJEMA SANA KWA WOTE.......KAPULYA.

Tuesday, October 23, 2012

NIMEIPENDA PICHA HII NA NIMEONA IWE PICHA YA WIKI/WAREMBO WA WIKI!!!

 
Kwa kweli nimeipenda hii picha hebu iangalie wewe unaona nini katika picha hii? ukitaka kumsoma zaidi mdada huyu basi bonyezaga hapa...

Thursday, September 13, 2012

TUMALIZE SIKU HII KWA PICHA HIZI:- SARESARE MAUA ASIYEJUA KUCHAGUA ....!!!

 Sehemu fulani Jamaica
Je unamjua huyu?
Nimezipenda hizi picha na nimeona ziwe picha za wiki hii. Rangi za mavazi ni rangi ambazo nazipendaaaaaaaa sana. Hakika ukijipenda mwenyewe basi na wengine watakupenda!!

Na sasa ngoja tusikiliza kibao hiki ambacho kinawakilisha ujumbe murwaaaaaaaaaaaaaaaaa.




Monday, August 13, 2012

TUANZE JUMATATU HII NA PICHA HII YA WAREMBO WA KINGONI!!!

Picha:- Ni ya wanawake wa KINGONI (mzimba) hapa ni mapema miaka ya 1900.... Nimeipenda picha hii maana inaonyesha jinsi wanawake  hawa wanavyojali urembo wa asili ebu watazame...inavutia kwa kweli. JUMATATU NJEMA...

Tuesday, July 24, 2012

KUADIMIKA KWA MUDA!!! LIKIZO....

 Mmmmmhh! Ngoja kwanza nikune kichwa naona kama nimeishiwa cha kusema vile..ni hivi ni raha sana kuwa na ndugu marafiki na jamaa...lakini sasa umefika muda wa kuwa pamoja na familia...niwanongóneza ni kwamba nipo Likizo...
Ila nitajitahidi kuwa nanyi pia kinamna ili tusisauliana..ila mmmhhh kuwasahau ndugu si rahisi...hapa naona kama kapulya hana furaha:-( WOTE MNAPENDWA NA TUPO PAMOJA.  MMEONA ZAWADI YANGU YA HUO UTAMADUNI/KIMASAI:-)