Showing posts with label ndizi. Show all posts
Showing posts with label ndizi. Show all posts

Wednesday, November 15, 2017

Wednesday, May 3, 2017

PALE MNGONI ANAPOTAMANI KWAKE RUHUWIKO KULA ALIVYOPANDA

KAZI YA MIKONO YANGU ..NDIZI

Mtoto wa mkulima ni mkulima. Utakula ulichopanda, lakini pia mkulima ni mmoja lakini walaji wengi. leo nimeikumbuka sana migomba yangu  nakula kwa macho tu:-)

Tuesday, August 30, 2016

KARIBUNI TUJUMUIKE KATIKA MLO HUU AUPENDAO KAPULYA......

 Mlo ni ni kachumbali, safu ya kwanza kwenye hicho chombo cha bluu karibu na kachumbali ni mihogo,katikati ni viazi vitabu na mwisho ni ndizi....
.....na hapa ni sahani yangu ilivyojazwa na cha kuteremshia   ni kinywaji cha uhai  si kingine ni MAJI

Tuesday, January 27, 2015

JINSI KAPULYA ALIVYOINASA TASWIRA YA LILONDO....AKINA MAMA WAJASILIAMALI....

Hapa ni Lilondo, huwezi kupita hapa bila kusimama ni kijiji chenye ndizi nyingi sana kama unavyoona akina mama wajasiliamali wanavyochangamka wakati  basi la Super Feo  liliposimama. Kwa hiyo upitapo Lilondo usikose kusimama kununu ndizi... maana kuan kila aina uwezo wako tu..karanga pia. PAMOJA DAIMA!!

Friday, October 31, 2014

IJUMAA NA JIONI NJEMA KWA WOTE...KARIBUNI NDIZI!!

Hakuna ndizi tamu kama hizi kule kwetu tunaziita "kaporota" ni tamu sana nazipenda mno. Je kuna ndizi nawe uzipendazo sana?

Tuesday, July 15, 2014

LEO NINGEPENDA SANA KULA MLO HUU..NDIZI

Nimetamani sana mlo huu...ndizi ila basi tu. Ila si siku nyingi bado nitapika mlo huu na kuula...hasa nikiendaMatetereka nitakula mpaka kushindwa....SIKU NJEMA KWA WOTE!!!