Showing posts with label kula chakula kwa pamoja. Show all posts
Showing posts with label kula chakula kwa pamoja. Show all posts

Tuesday, November 14, 2017

NIMEKUMBUKA MKAO HUU NA PIA KUJUMUIKA NA KULA KWA PAMOJA

Nimekumbuka miaka hile ya mwaka -47 wakati watu tulikuwa tunakaa kwa pamoja na kula tena sahani moja. Siku hizi  ni marachache sana kuona hii. Kwa kweli inanisikitisha

Tuesday, November 8, 2016

KARIBUNI TUJUMUIKE KATIKA MLO HUU WA UHAKIKA

UGALI WA ULEZI, MBOGA MAJANI NA SAMAKI
Hii picha imenikmbusha mbali sana huu ulaji kwa kushirikiana/kuchangia sahani moja na sio kila mtu na sahani yake...Hivi kwa nini hii tamaduni inakufa?