Showing posts with label kula chakula kwa pamoja. Show all posts
Showing posts with label kula chakula kwa pamoja. Show all posts
Tuesday, November 14, 2017
NIMEKUMBUKA MKAO HUU NA PIA KUJUMUIKA NA KULA KWA PAMOJA
Nimekumbuka miaka hile ya mwaka -47 wakati watu tulikuwa tunakaa kwa pamoja na kula tena sahani moja. Siku hizi ni marachache sana kuona hii. Kwa kweli inanisikitisha
Tuesday, November 8, 2016
KARIBUNI TUJUMUIKE KATIKA MLO HUU WA UHAKIKA
UGALI WA ULEZI, MBOGA MAJANI NA SAMAKI
Hii picha imenikmbusha mbali sana huu ulaji kwa kushirikiana/kuchangia sahani moja na sio kila mtu na sahani yake...Hivi kwa nini hii tamaduni inakufa?
Subscribe to:
Posts (Atom)

