Showing posts with label mapumziko. Show all posts
Showing posts with label mapumziko. Show all posts

Friday, March 9, 2018

PALE UPATAPO WASAA WA KUPUMZIKA BASI PUMZIKA KWANI NI MUHIMU KATIKA MAISHA YA MWANADAMU

Hapa yaonekana kuna kitu alikuwa akishangaa  au sijui hakuwa na njaa?
CHAKULA AKIPENDACHO KAPULYA KULIKO VYOTE HAPA DUNIANI NI SAMAKI
BAADA YA KAZI YA WIKI NZIMA SIO MBAYA KUJOPONGEZA KIDOGO. NAWATAKIENI WOTE MWISHO MWEMA WA WIKI HII NA IWE YA FURAHA NA AMANI ITAWALE KATIKA KAYA ZENU.

Saturday, August 12, 2017

Mapumziko mema


Nawatakieni  mapumziko  mema

Friday, March 24, 2017

HAYA MWISHO WA JUMA NDIO UNAKARIBIA SASA...NA HIZI ZIWE PICHA ZA WIKI HII........

Huyo dada kafunga mstari makande kwa bia...duh! kaaazi kwelikweli. Haya ndugu zanguni muwe na mwisho mwema wa juma kama  ni kwa mtindo huu kama huyo dada au tu
 kwa mtindo huu  na pengine labda....
...kwa mtindo huu .
na labda pia kwa mtindo wa kuwa na familia mkiwa mmetulia nyumbani  baada ya kazi ya wiki nzima. Kwa mtindo wa kuwa pamoja na kusimuliana hadithi mbalimbali na vipi wiki kwa ujula imekuwaje? HAYA KAPULYA WENU ANAWATAKIENI MWISHO MWEMA WA WIKI. TUPO PAMOJA DAIMA. 

Friday, November 18, 2016

NAWATAKIENI MWISHO MWEMA WA JUMA HILI....PICHA YA WIKI!

Kwa wale wanaopenda ulabu ...hivi ndivyo pombe aina ya komoni inavyoanza kutengenezwa....msije mkasema tusubiri mpaka lini.......kuna
n
Hapa ni ulanzi...ni pombe ya kienyeji na ya asili...IJUMAA NJEMA KWA WOTE.

Friday, August 12, 2016

NAPENDA KUWATAKIENI MWISHO MWEMA WA JUMA ....LEO TUPO MKOANI IRINGA...

Watumiaji wa kinywaji aina ya Ulanzi wakifurahia kinywaji hicho katika mkoa wa Iringa. IJUMAA NJEMA NDUGU ZANGU....

Friday, June 17, 2016

Friday, March 11, 2016

NAWATAKIENI MWISHO MWEMA WA JUMA HILI...

Juma/wiki hii imekuwa ndefu na majukumu mengi sana. Ila sasa nitapumzika siku mbili tatu na ninaamini nawe unayesoma hapa utapata nafasi ya kupumzika na kuwa na familia/ndugu, jamaa na  marafiki kwani ni jambo nzuri kufanya. Karibuni tujumuike...Nilikuwa nyumbani Ruhuwiko/Songea. IJUMAA NJEMA. Kapulya.