Kama mnakumbuka kuna mada niliwahi kuiweka hapa kwa kuwakumbusha basi gongeni kapulya. Matunda haya ni maarufu sana katika Mkoa wa Ruvuma nasi huyaita masuku na wangoni wanasema Mapotopoto ni matamu sana. Na kwa kujipatia hela ni rahisi sana masuku kumi ni shilingi 100 kwa hiyo ukiwa nayo mia moja uongo mbaya...NAWATAKIENI JUMATANO NJEMA SANA WOTE NA PANAPO MAJALIWA TUTAGONGANA TU....
