Showing posts with label matunda ya pori masuku. Show all posts
Showing posts with label matunda ya pori masuku. Show all posts

Wednesday, October 9, 2013

KARIBUNI UTAANZA MSIMU WA MATUNDA HAYA YA PORI KWA JINA LA MASUKU/MAPOTOPOTO

 

Kama mnakumbuka kuna mada niliwahi kuiweka hapa kwa kuwakumbusha basi gongeni kapulya. Matunda haya ni maarufu sana katika Mkoa wa Ruvuma  nasi huyaita masuku na wangoni wanasema Mapotopoto ni matamu sana. Na kwa kujipatia hela ni rahisi sana masuku kumi ni shilingi 100 kwa hiyo ukiwa nayo mia moja  uongo mbaya...NAWATAKIENI JUMATANO NJEMA SANA WOTE NA PANAPO MAJALIWA TUTAGONGANA TU....