Showing posts with label WIZARA YA ELIMU. Show all posts
Showing posts with label WIZARA YA ELIMU. Show all posts

Thursday, September 8, 2016

ELIMU:- WIZARA YA ELIMU MPO...WANAFUNZI WANASOMA KATIKA WAKATI MGUMU NA WALIMU KUFUNDISHA KATIKA MAZING MAZINGIRA MAGUMU...

Hao ni wanafunzi ambao wanasoma katika wakati Mgumu na kwenye mazingira Magumu Je? Wizara ya Elimu inafikiriaje hili swala?. Ni jabu kwa nchi kama Tanzania ambayo ina umri zaidi ya  Miaka 50 sasa wanafunzi kusomea chini ya miti na walimu kufundisha katika mazingira magumu kama hayo.
Je unategemea wanafunzi hao wataelewa? na Je? hii ndio Elimu Bora au Bora Elimu? kama kawaida palipo na wengi pana Majibu au Mjadala haya  Wasomaji wenzangu karibuni tutafakari kwa pamoja na  ikiwezekana tuchukue hatua........Kapulya wenu....PAMOJA DAIMA