Showing posts with label mapishi ya leo. Show all posts
Showing posts with label mapishi ya leo. Show all posts
Thursday, May 14, 2015
MAPISHI:- LEO KATIKA KUSOMA SOMA NIMEKUTANA NA MAPISHI HAYA....
Ni kuku mzima ambaye nimempaka viungo na halafu nimemweka juu ya kopo la bia na na halafu nimemchuma. Nyama yako ilikuwa tamu sana. Jaribu na wewe nakwambia utajiuma...unaweza kula na wali, viazi au ugali, mimi nilikuta na kachumbali/saladi. Siku na Jioni njema. Kapulya:-)
Saturday, January 18, 2014
HAYA NI MAPISHI YA KAPULYA JIONI HII YA LEO..KITIMOTO NDANI YA UYOGA......
Ni kitimoto, uyoga niliochuma mwezi wa kumi, cream kidogo, nyanya , chumvi na maji kidogo na viungo vingine....
Na baada ya muda chakula kilikuwa tayari kuliwa na hapa ni shani yangu, ikiwa imeshehena na wali, kitimoto,uyoga kama hapo juu na sallad tamuuuu ambayo ni:- nyanya, tango, carroti, majani ya salladi na chizi(fetaost) na kitunguu kwa mbaliiii...
Nikapandishia na glasi ya maji kama uonavyo...Ila usisite kuja kuna chakula bado karibu sana tena sana kujumuika nasi. JIONI NJEMA.
Na baada ya muda chakula kilikuwa tayari kuliwa na hapa ni shani yangu, ikiwa imeshehena na wali, kitimoto,uyoga kama hapo juu na sallad tamuuuu ambayo ni:- nyanya, tango, carroti, majani ya salladi na chizi(fetaost) na kitunguu kwa mbaliiii...
Nikapandishia na glasi ya maji kama uonavyo...Ila usisite kuja kuna chakula bado karibu sana tena sana kujumuika nasi. JIONI NJEMA.
Wednesday, July 24, 2013
MAPISHI:- LEO MLO NILIOANDAA NI HUU ANGALIA HAPA CHINI !!!!
Hapa ni mishikaki ya kidali cha kuku ambayo imeandaliwa kwa kuwekwa kwenye mafuta kidogo,soya kidogo, kitunguu saumu,tangawizi na limau. Na baada ya hapo ikatundikwa kama mishkaki kama muonavyo tayari kwa mchomo....
Na hapa ni sahani zitakazotumika kwa vile tutakuwa nje basi vilibebwa vingine pia kwenye sinia hilo. ambavyo ni nyanya, tikiti maji, njegere mbichi kutoka bustanini na zeituni za rangi mbili kijani na nyeusi.
Mishkaki imeweka kwenye moto tayari kwa kuchomwa na dada Kapulya ...bahati mbaya haonekani kwenye picha kwani anakimbia ndani na nje kuangalia wali....
Baada ya dakika kumi mishkaki inaonekana hivi nimechoma dakika tano kila upande..tayari kuliwa ..KARIBUNI TUJUMUIKE....
Na hii ni sahani ya Kapulya mshkaki mmoja, tikiti maji na nyanya pembeni, njegere, wali, na kitamu zaidi MCHICHI KUTOKA BUSTANI YANGU....MMMMMHHH. Hakika kulima raha..si mnaona eeeeh ..KARIBUNI ..ILA NIMEUKOSA UGALI..NITAANDAA KESHO NA MBOGA MABOGA:-)..HAYA MUWA NA JIONI/USIKU AU LABDA MCHANA AU ASUBUHI NJEMA. KAPULYA/KADALA.
Na hapa ni sahani zitakazotumika kwa vile tutakuwa nje basi vilibebwa vingine pia kwenye sinia hilo. ambavyo ni nyanya, tikiti maji, njegere mbichi kutoka bustanini na zeituni za rangi mbili kijani na nyeusi.
Mishkaki imeweka kwenye moto tayari kwa kuchomwa na dada Kapulya ...bahati mbaya haonekani kwenye picha kwani anakimbia ndani na nje kuangalia wali....
Baada ya dakika kumi mishkaki inaonekana hivi nimechoma dakika tano kila upande..tayari kuliwa ..KARIBUNI TUJUMUIKE....
Na hii ni sahani ya Kapulya mshkaki mmoja, tikiti maji na nyanya pembeni, njegere, wali, na kitamu zaidi MCHICHI KUTOKA BUSTANI YANGU....MMMMMHHH. Hakika kulima raha..si mnaona eeeeh ..KARIBUNI ..ILA NIMEUKOSA UGALI..NITAANDAA KESHO NA MBOGA MABOGA:-)..HAYA MUWA NA JIONI/USIKU AU LABDA MCHANA AU ASUBUHI NJEMA. KAPULYA/KADALA.
Subscribe to:
Posts (Atom)