Showing posts with label DOMINIKA/JUMAPILI. Show all posts
Showing posts with label DOMINIKA/JUMAPILI. Show all posts
Sunday, February 1, 2015
NI JUMAPILI NYINGINE TENA YA MWEZI MPYA...DAWA YA KUSAMEHE NI UPENDO!!
JUMAPILI NJEMA! UJUMBE TOKA KWA KAPULYA:- TUDUMISHE UPENDO NA TUWE WEPESI KUSAMEHEANA!
Sunday, November 16, 2014
NAPENDA KUWATAKIENI WOTE MTAKAOPITA HAPA JUMAPILI/DOMINIKA NJEMA KWA SALA HII!!!
Ee Mungu unifanya niwe chombo cha amani yako. Penye chuki nilete mapatano, penye kukata tamaa nilete matumaini, penye huzuni furaha, Amina
JUMAPILI NJEMA KWA WOTE!!
JUMAPILI NJEMA KWA WOTE!!
Sunday, November 9, 2014
LEO NI SIKU YA AKINA BABA HAPA SWEDEN/FARS DAG.... NAMI NACHUKUA NAFASI HII NA .....
Hapa ni baba watoto ...nao wameniomba nimpongeze baba yao kwa siku hii ya leo.
Nami nkaona si mbaya kama nami nikichukua nafasi hii na kumpongeza baba yangu mzee Ngonyani ni huyo mwenye shati la rangi ya waridi. Na pia nawapongea akina baba wote hapa duniani kwa siku hii kwani bila wao tusingekuwapo na maisha hayangekuwa kama kawaida. NA MWISHO NAPENDA KUWATAKIENI WOTE JUMAPILI NJEMA SANA:-)
Nami nkaona si mbaya kama nami nikichukua nafasi hii na kumpongeza baba yangu mzee Ngonyani ni huyo mwenye shati la rangi ya waridi. Na pia nawapongea akina baba wote hapa duniani kwa siku hii kwani bila wao tusingekuwapo na maisha hayangekuwa kama kawaida. NA MWISHO NAPENDA KUWATAKIENI WOTE JUMAPILI NJEMA SANA:-)
Sunday, September 28, 2014
NAPENDA KUWATAKIENI WOTE JUMAPILI/DOMINIKA NJEMA!!!
Hivi ndivyo nilivyoonekana jumapili ya leo baada tu ya kutoka kanisani kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunilinda na kuniepusha na majaribu mengi na mabaya. Napenda kuwaombea watu wote wafu na wazima. UJUMBE WANGU WA LEO NI :- Kristo ni tumaini letu.
Sunday, August 10, 2014
MSIONE KIMYA NIPO...NIPO KAMA NILIVYOSEMA LIKIZO AMBAO MUDA MZURI KUWA NA FAMILIA....NIPO!
Kwanza nisema habari za siku mbili -tatu au niseme za wiki nzima bila kuwa nanyi.. nilikuwa nikisafisha macho na kujifunza kidogo historia. Ila sasa nimerudi na nipo nanyi....naweka picha kidogo kuonyesha wapi nilikuwa. Nimewamiss ndugu zanguni.
Hapa ni mitaani ndani ya Nchi ya Estonia. Kwa kweli nimesafisha macho sana na pia kupumzisha akili.
Haikuwa muda mrefu nilikuwa kule na hapa sasa narudi tena ila duh!....na sasa Likizo imekwisha wiki ijayo ni mtindo mmoja kubeba maboxi:-) JUMAPILI/DOMINIKA NJEMA KWA WOTE...!!!
Hapa ni mitaani ndani ya Nchi ya Estonia. Kwa kweli nimesafisha macho sana na pia kupumzisha akili.
Haikuwa muda mrefu nilikuwa kule na hapa sasa narudi tena ila duh!....na sasa Likizo imekwisha wiki ijayo ni mtindo mmoja kubeba maboxi:-) JUMAPILI/DOMINIKA NJEMA KWA WOTE...!!!
Sunday, July 13, 2014
TUANZE JUMAPILI HII NA KIKOMBE CHA CHAI...NINYIME VITU VYOTE LAKINI SIO CHAI!!!
You´re Just my Cup of Tea,
Our Love Warms my Heart.
Najua wote mnajua mie ni mpenzi sana wa chai tena ile isiyo na sukari(Chingambu) :-).
BASI NIWATAKIENI WOTE JUMAPILI NJEMA SANA. UPENDO NA AMANI ITAWALE KATIKA NYUMBA ZETU.
Sunday, July 6, 2014
JUMAPILI YA LEO NIMEMKUMBUKA SANA MJOMBA WANGU JOHN BOSCO.......JUMAPILI NJEMA
Hapa ilikuwa mwaka 2007 nilipokwenda kumsalimia mjomba wangu ni yeye katikati na huyo mwingine ni kakangu mdogo yaani wa mwisho na bila kusahau huyo mdada ni Kapulya...:-) Hapo ni Lundo/nyasa....JUMAPILI NJEMA KWA WOTE!!!
Sunday, June 29, 2014
MAISHA NA MAFANIKIO NAWATAKIENI JUMAPILI NJEMA NA WIMBO HUU!!!
MWENYEZI MUNGU NA AWE PAMOA NASI DAIMA
Sunday, June 22, 2014
Sunday, June 15, 2014
Sunday, May 25, 2014
JUMAPILI NJEMA KWA WOTE..NA HILI NDILO NENO LA JUMAPILI HII LILILOCHAGULIWA NA MAISHA NA MAFANIKIO
Mwana mwenye Hekima humfurahisha Babaye; bali mwana mpumbavu ni mzigo wa mama-Mithali 10:1.
TUMALIZIE JUMAPILI HII NA WIMBO HUU WA JESHI LA MUNGU KUTOKA KWAYA YA MTAKATIFU SECILIA PAROKIA YA IRAMBA NGOREME MUSOMA
BASI NIWATAKIENI WOTE MTAKAOPITA HAPA JUMAPILI NJEMA SANA MAANA HUU WIMBO DUH! JASHO LANITOKA HAPA:-)
TUMALIZIE JUMAPILI HII NA WIMBO HUU WA JESHI LA MUNGU KUTOKA KWAYA YA MTAKATIFU SECILIA PAROKIA YA IRAMBA NGOREME MUSOMA
BASI NIWATAKIENI WOTE MTAKAOPITA HAPA JUMAPILI NJEMA SANA MAANA HUU WIMBO DUH! JASHO LANITOKA HAPA:-)
Sunday, February 16, 2014
HILI NI CHAGUA LA MAOMBI/SALA YA JUMAPILI YA LEO NA MAISHA NA MAIFANIKIO KWA WATU WOTE!!!
Eh, Mungu uliye Mtakatifu, sisi ni watenda dhambi, hatuwezi kujiokoa twakuomba Bwana Yesu uingie katika mioyo yetu na utusamehe dhambi zetu. Amina.
Naona si mbaya kama tukimalizia na kumsikiliza dada Rose Muhando na wimbo huu UNASHANGAZA
JUMAPILI IWE NJEMA KWENU NA AMANI PIA UPENDO VITAWALE DAIMA.
Naona si mbaya kama tukimalizia na kumsikiliza dada Rose Muhando na wimbo huu UNASHANGAZA
JUMAPILI IWE NJEMA KWENU NA AMANI PIA UPENDO VITAWALE DAIMA.
Sunday, December 29, 2013
TUMALIZA JUMAPILI YA MWAKA HUU 2013 NA MWIMBO HUU WA DADA BAHATI BUKUKU :- DUNIA HAINA HURUMA.
NAWATAKIENI WOTE JUMAPILI HII YA MWISHO KWA MWAKA HUU 2013 IWE NJEMA SANA WAKATI TUKIUSUBIRI MWAKA 2014. JUMAPILI NJEMA SANA....KAPULYA
Sunday, December 22, 2013
NI DOMINIKA YA NNE YA MAJILIO MWAKA A..PIA BADO SIKU CHACHE NA NDIPO ITAKUWA KUZALIWA KWAKE YESU MKOMBOZI WETU
"Bikira atachukua mimba, atamzaa mtoto wa kuime, naye ataitwa Emanuali" Maana yake "Mungu yupo pamoja nasi."
NAPENDA KUWATAKIENI WOTE JUMAPILI HII KABLA KUZALIWA KWAKE BWANA WETU YESU KRISTO IWE NJEMA KWA WOTE. KAMA ILIVYOANDIKWA MUNGU YUPO PAMOJA NASI. WOTE MNAPENDWA....KAPULYA
NAPENDA KUWATAKIENI WOTE JUMAPILI HII KABLA KUZALIWA KWAKE BWANA WETU YESU KRISTO IWE NJEMA KWA WOTE. KAMA ILIVYOANDIKWA MUNGU YUPO PAMOJA NASI. WOTE MNAPENDWA....KAPULYA
Sunday, December 8, 2013
NAWATAKIENI JUMAPILI NJEMA ....LEO NA MTOKA WA NYEUPE HIVI NDIVYO NILIVYOTOKEZEA IJUMAA..!!!MWANAMTINDO KAPULYA:-)
Leo mdada kavalia nyeupe ilikuwa ijumaa kulikuwa na sherehe na hivyo ndivyo alivyotokezea ....:-)
Anashangaa kama vile anatoka usingizini....Mpiga picha ni kaka Erik. Nawatakieni wote Jumapili njema sana na iwe yenye upendo na baraka. na pia maandalizi mema ya Noel.
Anashangaa kama vile anatoka usingizini....Mpiga picha ni kaka Erik. Nawatakieni wote Jumapili njema sana na iwe yenye upendo na baraka. na pia maandalizi mema ya Noel.
Sunday, October 20, 2013
JUMAPILI NJEMA ...ZILIPENDWA!!!
Napenda kuwatakieni wote JUMAPILI NJEMA .....na tukumbukane ....LEO NI JUMAPILI/DOMNIKA YA 29 YA MWAKA C....
Sunday, October 13, 2013
Sunday, September 1, 2013
NAWATAKIENI JUMAPILI HII YA 22 YA MWAKA C IWE NJEMA !!
Mdada katoka kanisani hapa
Sala ya leo kwa ajili ya kuwaombea watu wote:
Salamu, Maria, umejaa neema, Bwana
yu nawe,
umebarikiwa kuliko wanawake wote, na Yesu,
mzao wa tumbo lako amebarikiwa.
Maria mtakatifu, Mama wa Mungu,
utuombee sisi wakosefu, sasa na saa ya kufa kwetu.
Amina.
umebarikiwa kuliko wanawake wote, na Yesu,
mzao wa tumbo lako amebarikiwa.
Maria mtakatifu, Mama wa Mungu,
utuombee sisi wakosefu, sasa na saa ya kufa kwetu.
Amina.
NA TUSISAHAU KUWAOMBEA JT. YUSTO, INGRID, JN GREGORI MKUU , SOFIA
JO ..ROSALIA, IRMGARD, AL.. ROMULO, ROSWITA...IJ ...MAGNUS, ALEX, JS YIDITH.
TUPO PAMOJA. AMINA
.
Sunday, August 25, 2013
NI DOMINIKA YA 21 YA MWAKA C..WATOTO
Watoto wana hali ya kimbingu. kwani wana kila sababu: unyofu. utulivu. amani, upendo, furaha, mapatano. umoja, ushirikiano. usikivu na unyenyekevu. Ndiyo maana hata Bwana wetu yesu Kristu alisema: "Waacheni wadogo waje kwangu." Hali hii inatakia kwa kila mmoja wetu ili baada ya maisha haya ya sasa tukafurahi pamoja na Mungu katika utatu, milele yote mbinguni.
JUMAPILI NJAMA
Sunday, August 18, 2013
HILI NI CHAGUO LA MAISHA NA MAFANIKIO KWA JUMAPILI HII YA LEO :UJUMBE!!
Elimu ni mali ambayo adui hawezi kuiteka. Maana ya msemo huu ni kwamba; mtu akishapata elimu, hii ni mali yake ambayo hakuna mtu anayeweza kuiteka na kuinyang'anya kwa kuwa hiyo ni sehemu ya utu wake. Pia elimu humsaidia kumfahamu Mungu vizuri zaidi aliye asili ya elimu na maarifa yote
JUMAPILI NJEMAKWA YEYETO ATAKAYEPITA HSPA.!!!!!
JUMAPILI NJEMAKWA YEYETO ATAKAYEPITA HSPA.!!!!!
Subscribe to:
Posts (Atom)




